Pankrasi wa Roma
Jump to navigation
Jump to search
Pankrasi wa Roma (kwa Kigiriki: Παγκράτιος, Pankratios, yaani "Anayeshika vyote"; kwa Kilatini: Pancratius; Synnada, Frigia, leo nchini Uturuki, 289 hivi - Roma, Italia, 12 Mei 303-304) alikuwa mvulana wa Dola la Roma ambaye aliongokea Ukristo akakatwa kichwa kwa sababu ya imani yake mpya[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Mei[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ San Pancrazio Martire
- ↑ Calendarium Romanum (Libreria Editrice Vaticana), p. 123
Viungop vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Catholic Forum
- San Pancrazio (Kiitalia)
- http://www.heiligenlexikon.de/Legenda_Aurea/Pancratius.htm
- Colonnade Statue in St Peter's Square
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |