Wasuni : Tofauti kati ya masahihisho
d Roboti: Imeongeza ky:Сунниттер |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[Picha:Islam by country.png|thumbnail|300px|Nchi za Waislamu wengi na madhehebu<br />Kibichi: Wasunni wengi; Nyekundu: Washia wengi]] |
[[Picha:Islam by country.png|thumbnail|300px|Nchi za Waislamu wengi na madhehebu<br />Kibichi: Wasunni wengi; Nyekundu: Washia wengi]] |
||
{{Islam}} |
|||
'''Wasunni''' ni [[dhehebu]] kubwa ndani ya dini ya [[Uislamu]]. Takriban asilimia 80 - 90 za Waislamu wote duniani hukadiriwa kuwa Wasunni na wengine 10-20 % huhesabiwa kati ya [[Washia]]. |
'''Wasunni''' ni [[dhehebu]] kubwa ndani ya dini ya [[Uislamu]]. Takriban asilimia 80 - 90 za Waislamu wote duniani hukadiriwa kuwa Wasunni na wengine 10-20 % huhesabiwa kati ya [[Washia]]. |
||
Wasunni huitwa kwa Kiarabu '''ahl ul-sunna''' ([[Kiarabu]]: '''أهل السنة'''; "watu wa mapokeo"). Neno Sunni |
Wasunni huitwa kwa Kiarabu '''ahl ul-sunna''' ([[Kiarabu]]: '''أهل السنة'''; "watu wa mapokeo"). Neno Sunni hutokana na neno [[sunna]] (kwa Kiarabu : '''سنة''' ) inayomaanisha [[mapokeo]] ya [[Mtume Muhammad]]. |
||
Isipokuwa Uajemi, Iraki, Bahrain, |
Isipokuwa [[Uajemi]], [[Iraki]], [[Bahrain]], [[Azerbaijan]], [[Yemen]], [[Omani]] na [[Lebanoni]] kundi hilo ni kubwa katika nchi zote penye Waislamu wengi. |
||
== Historia == |
== Historia == |
||
Mstari 13: | Mstari 14: | ||
Walimu wengine hasa katika kikundi cha [[Wawahabi]] kilichoanzishwa kati ya Wahanbali kimekaza mafundisho yake hadi kuwashtaki wengine kuwa si Waislamu wa kweli. |
Walimu wengine hasa katika kikundi cha [[Wawahabi]] kilichoanzishwa kati ya Wahanbali kimekaza mafundisho yake hadi kuwashtaki wengine kuwa si Waislamu wa kweli. |
||
== Viungo vya Nje == |
== Viungo vya Nje == |
Pitio la 14:05, 27 Julai 2012
Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya |
Imani na ibada zake |
Umoja wa Mungu |
Waislamu muhimu |
Abu Bakr • Ali |
Maandiko na Sheria |
Qur'an • Sunnah • Hadithi |
Historia ya Uislamu |
Historia |
Tamaduni za Kiislamu |
Shule • Madrasa |
Tazama pia |
Wasunni ni dhehebu kubwa ndani ya dini ya Uislamu. Takriban asilimia 80 - 90 za Waislamu wote duniani hukadiriwa kuwa Wasunni na wengine 10-20 % huhesabiwa kati ya Washia.
Wasunni huitwa kwa Kiarabu ahl ul-sunna (Kiarabu: أهل السنة; "watu wa mapokeo"). Neno Sunni hutokana na neno sunna (kwa Kiarabu : سنة ) inayomaanisha mapokeo ya Mtume Muhammad.
Isipokuwa Uajemi, Iraki, Bahrain, Azerbaijan, Yemen, Omani na Lebanoni kundi hilo ni kubwa katika nchi zote penye Waislamu wengi.
Historia
Wasunni hufuata mwelekeo wa Uislamu ulioanzishwa na ukhalifa wa Abu Bakr na kutokubali uongozi wa familia ya Mtume Muhammad kupitia Ali, Hassan na Husain.
Madhehebu ya Wasunni
Kati ya Wasunni kuna madhehebu nne zinazotofautiana kiasi kuhusu mafundisho ya sharia au sheria ya kidini ya Kiislamu. Ndio Wahanafi, Wamaliki, Washafii na Wahanbali. Kwa jumla Wasunni hukubaliana ya kwamba madhehebu haya yote manne ni sawa.
Walimu wengine hasa katika kikundi cha Wawahabi kilichoanzishwa kati ya Wahanbali kimekaza mafundisho yake hadi kuwashtaki wengine kuwa si Waislamu wa kweli.