Jumuiya ya Nchi za Kiarabu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.5.4) (roboti Nyongeza: mzn:اتحادیه عرب |
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: oc:Liga Aràbia |
||
Mstari 97: | Mstari 97: | ||
[[no:Den arabiske liga]] |
[[no:Den arabiske liga]] |
||
[[nrm:Ligue Arabe]] |
[[nrm:Ligue Arabe]] |
||
[[oc:Liga Aràbia]] |
|||
[[os:Араббаг Паддзахæдты Лигæ]] |
[[os:Араббаг Паддзахæдты Лигæ]] |
||
[[pl:Liga Państw Arabskich]] |
[[pl:Liga Państw Arabskich]] |
Pitio la 05:02, 3 Aprili 2011
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ni ushirikiano wa nchi za Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi. Ilianzishwa na nchi zinazokaliwa hasa na Waarabu. Imepokea pia nchi kama Komori zisizotumia Kiarabu kama lugha rasmi.
Nchi wanachama ni (pamoja na tarehe ya kujiunga):
Nchi zilizoanzisha jumuiya
- Misri - 22 Machi 1945
- Irak - 22 Machi 1945
- Jordani - 22 Machi 1945
- Lebanoni - 22 Machi 1945
- Saudia - 22 Machi 1945
- Syria - 22 Machi 1945
- Yemen - 22 Machi 1945
Nchi zilizojiunga baadaye
- Libya - 28 Machi 1953
- Sudani - 19 Januari 1956
- Moroko - 1 Oktoba 1958
- Tunisia - 1 Oktoba 1958
- Kuwait - 20 Julai, 1961
- Algeria - 16 Agosti 1962
- Falme za Kiarabu - 12 Juni 1971
- Bahrain - 11 Septemba 1971
- Katar - 11 Septemba 1971
- Oman - 29 Septemba 1971
- Mauritania - 26 Novemba 1973
- Somalia - 14 Februari 1974
- Palestina – Imechukua nafasi ya PLO tangu 9 Septemba 1976
- Djibouti - 9 Aprili 1977
- Komori - 20 Novemba 1993
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |