Jumuiya ya Nchi za Kiarabu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.5.4) (roboti Nyongeza: mzn:اتحادیه عرب
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: oc:Liga Aràbia
Mstari 97: Mstari 97:
[[no:Den arabiske liga]]
[[no:Den arabiske liga]]
[[nrm:Ligue Arabe]]
[[nrm:Ligue Arabe]]
[[oc:Liga Aràbia]]
[[os:Араббаг Паддзахæдты Лигæ]]
[[os:Араббаг Паддзахæдты Лигæ]]
[[pl:Liga Państw Arabskich]]
[[pl:Liga Państw Arabskich]]

Pitio la 05:02, 3 Aprili 2011

Wanachama za Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Kijani nyeusi: wakazi wengi hutumia Kiarabu
Kijani nyeupe: maeneo ya nchi wanachama ambako wenyeji hawatumii Kiarabu kama lugha ya kwanza
kijani milia:wasemaji wa Kiarabu ni wachache; katika Jibuti, Somalia na Komori si lugha rasmi ya serikali

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ni ushirikiano wa nchi za Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi. Ilianzishwa na nchi zinazokaliwa hasa na Waarabu. Imepokea pia nchi kama Komori zisizotumia Kiarabu kama lugha rasmi.

Nchi wanachama ni (pamoja na tarehe ya kujiunga):

Nchi zilizoanzisha jumuiya

Nchi zilizojiunga baadaye