Kampuni ya Huduma za Meli
Jump to navigation
Jump to search
Kampuni ya Huduma za Meli (kwa Kiingereza: Marine Services Company Limited) ni kampuni ya Serikali ya Tanzania inayotoa huduma za usafiri wa maji katika Maziwa Makuu ya Viktoria, Tanganyika na Nyasa.[1]
Picha[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Marine Transport. SUMATRA Consumer Consultative Council. Jalada kutoka ya awali juu ya 2014-10-06. Iliwekwa mnamo 12 October 2014.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kampuni ya Huduma za Meli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |