Bukoba (mji)
Bukoba | |
Mahali pa mji wa Bukoba katika Tanzania |
|
Majiranukta: 1°19′12″S 31°48′0″E / 1.32000°S 31.80000°E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Kagera |
Wilaya | Bukoba Mjini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 80,000 |
Bukoba ni manisipaa katika nchi ya Tanzania ambayo ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera yenye postikodi namba 35100 [1].. Eneo lake liko chini ya Halmashauri ya Bukoba mjini (Bukoba Municipal Council) yenye madaraka ya wilaya. Kulingana na sensa ya mwaka 2012 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 128,796[2].
Bukoba iko kando la Ziwa Viktoria Nyanza upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni; likaendelea kuwa makao makuu ya mwakilishi mkazi Mjerumani katika falme ndogo za Karagwe, Washubi na Wahaya ambazo hazikuingizwa bado moja kwa moja katika koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini - Mkoa wa Kagera - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Bakoba | Bilele | Buhembe | Hamugembe | Ijuganyondo | Kagondo | Kahororo | Kashai | Kibeta | Kitendaguro | Miembeni | Nshambya | Nyanga | Rwamishenye |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bukoba (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |