Helier Mtakatifu
Mandhari

Helier Mtakatifu (alifariki 555) alikuwa mkaapweke anaheshimika kama mmisionari wa kisiwa cha Jersey, karibu na Ufaransa[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana tarehe 16 Julai[2].
Maisha
[hariri | hariri chanzo]
Mtoto wa wazazi tajiri wa Tongeren (leo nchini Ubelgiji). Ingawa Wapagani walikubali mtoto alelewe Kikristo, ila walipomuua Kunibert, mlezi wake, Helier alitoroka nyumbani.
Hatimaye alifikia Cotentin alipojiunga na monasteri ya Marcouf huko Nantus (Nanteuil, sasa St.-Marcouf-de-l’Isle, Manche).
Ni Marcouf aliyempeleka pamoja na padri Romard kuinjilisha Jersey ambapo hatimaye aliuawa na maharamia kwa kukatwa kichwa[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Vyanzo
[hariri | hariri chanzo]- A Biographical Dictionary of Jersey, G.R. Balleine
- A Theory on the Evangelisation of the Cotentin (Normany Peninsular):St Marculf, M. Charles Grosset
- Elizabeth Castle by Major NVL Rybot
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Article on St Helier by G.R. Balleine Ilihifadhiwa 25 Machi 2008 kwenye Wayback Machine.
- "St. Elier or Helier, Hermit and Martyr", Butler's Lives of the Saints
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
