Marcouf

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marcouf akimponya mfalme wa Ufaransa.

Marcouf (pia Marcoult, Marculf, Marcoul, Marcou; alifariki 1 Mei 558) alikuwa mkaapweke, halafu abati wa Nantus (Nanteuil-en-Cotentin), Cotentin, Ufaransa[1].

Alishughulikia uinjilishaji wa kisiwa cha Jersey.

Tangu kale huheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.