Marcouf
Mandhari

Marcouf (pia Marcoult, Marculf, Marcoul, Marcou; alifariki 1 Mei 558) alikuwa mkaapweke, halafu abati wa Nantus (Nanteuil-en-Cotentin), Cotentin, Ufaransa[1].
Alishughulikia uinjilishaji wa kisiwa cha Jersey.
Tangu kale huheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
