Gombe, Butambala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Gombe, Butambala katika ramani ya Uganda kama ambavyo inaonekana kwa majiranukta 0°10′52″N 32°06′51″E / 0.18111°N 32.11417°E / 0.18111; 32.11417

Gombe ni manispaa katika Wilaya ya Butambala Mkoa wa Kati huko Uganda. Ni eneo kuu la manispaa, utawala, biashara na makao makuu ya wilaya.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mukiibi, Eriasa S. (25 August 2010). "The Making of A Needy District". The Independent (Uganda). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-07-11. Iliwekwa mnamo 21 Februari 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)