Kibiito

Kibiito ni mji katika Mkoa wa Magharibi mwa Uganda. Ni eneo kuu la utawala wa wilaya ya Bunyangabu na makao makuu ya wilaya yako hapo.[1][2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Basiime, Felix (3 March 2017). Kabarole budgets Shs12 billion for new Bunyangabu District. Jalada kutoka ya awali juu ya 2017-08-12. Iliwekwa mnamo 12 August 2017.
- ↑ Kajubu, Emmanuel (3 July 2017). Pictorial: Bunyangabu District Interim LCV Chairperson Elections. Iliwekwa mnamo 12 August 2017.
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kibiito kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |