Hoima
Mandhari

Hoima ni mji mkuu wa Wilaya ya Hoima nchini Uganda.
Idadi ya wakazi wake ni takriban 36,800.
Hoima ipo takriban kilomita 200 kwa barabara ,kaskazini-magharibi ya mji wa Kampala, barabara ya Hoima-Kampala imetengenezwa kwa kiwango cha lami.Majira-nukta ya Hoima ni 1°25'55.0"N 31°21'09.0"E (Latitude:1.431944; Longitude:31.352500).[1]
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑
- REDIRECT Template:Cite Google Maps
Ukurasa huu ni maelekezo. Jamii zifuatazo za maelekezo hutumika kufuatilia na kufuatilia maelekezo haya: Kigezo:Redirect templateKigezo:R from move/except
Pale inapofaa, viwango vya ulinzi hutambuliwa kiotomatiki, kuelekezwa, na kuwekwa katika jamii.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Uganda bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Hoima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |