Nenda kwa yaliyomo

Hoima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Punda akivuka bararabara Hoima,Uganda


Hoima ni mji mkuu wa Wilaya ya Hoima nchini Uganda.

Idadi ya wakazi wake ni takriban 36,800.

Hoima ipo takriban kilomita 200 kwa barabara ,kaskazini-magharibi ya mji wa Kampala, barabara ya Hoima-Kampala imetengenezwa kwa kiwango cha lami.Majira-nukta ya Hoima ni 1°25'55.0"N 31°21'09.0"E (Latitude:1.431944; Longitude:31.352500).[1]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
    1. REDIRECT Template:Cite Google Maps

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: