Nenda kwa yaliyomo

Iganga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Iganga, Uganda
Kanisa lililopo Iganga, Uganda

Iganga ni mji mkuu wa Wilaya ya Iganga nchini Uganda. Idadi ya wakazi wake ni takriban 48,200.

Iganga ipo eneo la ukanda mdogo wa Busoga.Upo takriban kilomita 40, kwa barabara ,kaskazini-mashariki mwa mji wa Jinja na majira-nukta ya eneo hilo ni: 0°36'54.0"N, 33°29'06.0"E (Latitudi:0.6150; Longitudi:33.4850).[1]

Vivutio vya mji huo ni pamoja na miradi ya 'DevelopNet', ambao ni sehemu ya kupatia mtandao na kutoa msaada kwa jamii kwa kuandaa majukwaa tafauti tafauti kupitia taasisi zisizo za kiserikali.Ni sehemu ambayo taasisi zisizo za kiserikali zimejikita zaidi ili kusaidia kwenye maswala ya elimu na maendeleo ya jamii kwa ujumla.Mji wa Igunga ina ofisi za kutoa mitandao kadhaa , nyumba za wageni na soko lililotazamana na eneo la kuegesha teksi.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


  1. https://www.google.com/maps/dir/Jinja/Iganga/@0.5252874,33.1958066,11z/data=!3m1!4b1!4m14!4m13!1m5!1m1!1s0x177e7b862c391f47:0x300fe90f956a9f4a!2m2!1d33.2026122!2d0.4478566!1m5!1m1!1s0x177ef28a75729ee9:0x2a5b0f015719e99d!2m2!1d33.4719832!2d0.6045833!3e0 | title=Distance Between Jinja, Uganda And Iganga, Uganda