Nenda kwa yaliyomo

Mbarara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Mbarara, Uganda
Wilaya ya Mbarara, Uganda

Mbarara ni mji mkuu wa Wilaya ya Mbarara nchini Uganda Jumuia ya Afrika Mashariki. Idadi ya wakazi wake ni takriban 197,500.

Ni mji maluum ambao una chuo kikuu cha Makerere, Kikara Campus.

Ushawishi wake ulitoka Kiswa na Wilaya ya Isingiro.

Tazama pia