Tarakilishi
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Kompyuta)
Tarakilishi (pia: tarakishi, kompyuta) ni mashine inayotumia data kwa njia tofauti kutokana na maagizo zilizoandikwa kwenye bidhaa pepe (kwa Kiingereza software).
Maneno Kompyuta na Ngamizi yanaweza kutumika badala Tarakishi.
[hariri] Viungo vya Nje
Orodha ya maneno ya tarakishi ya mradi wa Kilinux kwenye Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

