Kiambishi awali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Kiambishi awali ni neno au maneno yanayokaa kabla ya mzizi wa neno,mfano neno ,wanavyolimiwa,neno hili hili mzizi mzizi wake ni L, na shina hapo ni Lima,maneno yanayoonesha viambaishi awali "vinavyofanyakazi" kama ifuatavyo:

  • A=inaonesha kiambaishi awali nafsi ya pili umoja kiwakilishi cha ngeli ya YU-AWA
  • NA=inaonseha kiambishi awali njeo wakati uliopo
  • VYO=Inaonesha kiambishi awali ureshi wa mtenda
  • L=Mzizi wa neno
  • Lima=SHina la neno
  • LIMIWA=NI shina mnyumbuliko

Kahiyo hiyo ndio dhana ya kutambua viambaishi awali katika tungo.

Tazama pia [hariri]

Lango la Lugha

Viungo vya Nje [hariri]

Viambishi ni mofimu au viungo vyenye maana ambavyo hufungamanishwa na mzizi/shina la neno ili kulipa neno hilo maana mbalimbali za kisarufi kama vile nafsi, wakati, hali, urejeshi, n.k Viambishi awali ni vile vinavyotangulia mzizi wenyewe, yaani huwa kabla ya mzizi/shina. SHINA AU MZIZI: Hakuna tofauti kati ya shina na mzizi MZIZI/SHINA, Ni sehemu ya neno inayobeba maana yake kuu na huwa haibadiliki, Kwa mfano, tuangalie vitenzi vifuatavyo: a-na-LIM-a wa-li-LIM-i-a ni-ta-LIM-iw-a wa-na-vyo-LIM-a Ukiangalia kwa makini, utaona kuna sehemu ya kitenzi hiki ambayo haibadiliki katika mifano ya hapo juu. Sehemu hiyo ni (-LIM-). Na hii ndiyo shina au mzizi wa kitenzi LIMA. Mfano mwingine: a-li-ki-SOM-a hu-SOM-ew-a wa-li-SOM-e-an-a a-li-m-SOM-e-a i-li-SOM-w-a Tunaona hapa mzizi/shina la kitenzi SOMA, ni -som- Ili utambue shina/mzizi wa kitenzi unafaa kuwazia hali mbalimbali au kauli tofautitofauti za mnyambuliko wa kitenzi halafu ubainishe sehemu isiyobadilika.