Ziwa Opeta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa Opeta ni ziwa dogo la Uganda kaskazini kwa Ikweta (Wilaya ya Kumi).

Ziwa hilo hufaidika na mvua za mlima Elgon na hutoa maji kwa Ziwa Opeta na hatimaye kwa Ziwa Kyoga.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]