Ziwa Kijanebalola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa Kijanebalola ni ziwa dogo la Uganda kusini kwa Ikweta, katika wilaya ya Rakai.

Ziwa hilo lina eneo la kilometa mraba 38.89.

Ndani yake hupatikana kisiwa cha Kisozi na kisiwa cha Kinoni.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]