Ziwa Wamala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa Wamala ni ziwa dogo la Uganda kaskazini kwa Ikweta, katika wilaya ya Mityana, wilaya ya Mubende na wilaya ya Gomba.

Ziwa hilo lina eneo la kilometa mraba 250. Maji yake yanachangia Ziwa Nyanza ambalo lilitengana nalo miaka 4,000 iliyopita.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]