Ziwa Kwania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa Kwania ni ziwa dogo la Uganda kaskazini kwa Ikweta.

Ziwa hilo hupokea maji kutoka mto Adip na mto Abalang na huyamwaga katika Viktoria Nile.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]