Ikweta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani

Ikweta ni mstari unaogawa dunia katika sehemu mbili (kaskazini na kusini) kwenye umbali sawa kati ya ncha ya kaskazini na ya kusini.

Baina ya nchi za Afrika ni Somalia, Kenya, Uganda, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jamhuri ya Kongo, Gaboni na Sao Tome na Principe ambazo ziko kwenye mstari wa ikweta.

Katika Amerika ikweta inapita Ekwado (jina limetokana na neno la ikweta kwa Kihispania), Kolombia na Brazili. Katika Asia ikweta inapita funguvisiwa ya Indonesia.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ikweta kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.