Nenda kwa yaliyomo

Wizara ya Nishati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wizara ya Nishati
English: Ministry of Energy
MamlakaTanzania
Makao MakuuSamora Avenue,Dar es Salaam
WaziriDkt. Medard Matogolo Kalemani
Naibu WaziriSubira Khamis Mgalu
Tovutinishati.go.tz

Wizara ya Nishati (kwa Kiingereza: Ministry of Energy) ni wizara mpya ya serikali nchini Tanzania iliyopatikana baada ya tarehe 7 Oktoba 2017 Rais John Pombe Joseph Magufuli kuvunja wizara ya Nishati na Madini na kutengeneza wizara mbili tofauti: Wizara ya Nishati na Wizara ya Madini.

    Tazama pia

    [hariri | hariri chanzo]

    Viungo vya nje

    [hariri | hariri chanzo]
    Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Nishati Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
    Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.