Wizara ya Nishati
Mandhari
| Wizara ya Nishati English: Ministry of Energy | |
|---|---|
| Mamlaka | Tanzania |
| Makao Makuu | Samora Avenue,Dar es Salaam |
| Waziri | Dkt. Medard Matogolo Kalemani |
| Naibu Waziri | Subira Khamis Mgalu |
| Tovuti | nishati.go.tz |
Wizara ya Nishati (kwa Kiingereza: Ministry of Energy) ni wizara mpya ya serikali nchini Tanzania iliyopatikana baada ya tarehe 7 Oktoba 2017 Rais John Pombe Joseph Magufuli kuvunja wizara ya Nishati na Madini na kutengeneza wizara mbili tofauti: Wizara ya Nishati na Wizara ya Madini.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti Ilihifadhiwa 3 Septemba 2018 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Nishati Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |