Nenda kwa yaliyomo

Wizara ya Madini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wizara ya Madini
English: Ministry of Minerals
Faili:Ministry of Minerals dar es salaam.jpg
MamlakaTanzania
Makao MakuuSamora Avenue,Dar es Salaam
WaziriAngellah Kairuki
Naibu WaziriStanslaus Haroon Nyongo
Tovutimem.go.tz

Wizara ya Madini (kwa Kiingereza: Ministry of Minerals) ni wizara mpya ya serikali nchini Tanzania iliyopatikana tarehe 7 Oktoba 2017 baada ya Rais John Pombe Joseph Magufuli kuvunja wizara ya Nishati na Madini na kutengeneza wizara mbili: Wizara ya Nishati na Wizara ya Madini.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Madini Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.