Wizara ya Madini
Mandhari
| Wizara ya Madini English: Ministry of Minerals | |
|---|---|
| Faili:Ministry of Minerals dar es salaam.jpg | |
| Mamlaka | Tanzania |
| Makao Makuu | Samora Avenue,Dar es Salaam |
| Waziri | Angellah Kairuki |
| Naibu Waziri | Stanslaus Haroon Nyongo |
| Tovuti | mem.go.tz |
Wizara ya Madini (kwa Kiingereza: Ministry of Minerals) ni wizara mpya ya serikali nchini Tanzania iliyopatikana tarehe 7 Oktoba 2017 baada ya Rais John Pombe Joseph Magufuli kuvunja wizara ya Nishati na Madini na kutengeneza wizara mbili: Wizara ya Nishati na Wizara ya Madini.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti Ilihifadhiwa 30 Januari 2018 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Madini Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |