Uwanja wa ndege wa Dodoma

Uwanja wa ndege wa Dodoma ni kiwanja cha ndege kinachohudumia jiji la Dodoma, mji mkuu wa Tanzania.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (Kiingereza)
![]() ![]() |
Makala hii kuhusu uwanja wa ndege nchini Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |