Uwanja wa ndege wa Mbeya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa ndege wa Mbeya ni uwanja wa ndege mdogo unaohudumia jiji la Mbeya, kusini mwa Tanzania. Ulikuwa uwanja wa ndege wa kwanza wa Mbeya lakini ilhali ni mdogo unatumiwa tu na eropleni ndogo; usafiri wa hewani wa Mbeya kwa kawaida hupita uwanja wa ndege wa Songwe.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]