Ulaya ya Kusini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ulaya ya Kusini katika mpangilio wa Umoja wa Mataifa.

Ulaya ya Kusini ni sehemu ya kusini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili. Maelezo hutofautiana kutokana na njia mbalimbali za kuangalia sehemu hiyo: kwa maana ya kijiografia, kisiasa au kiutamaduni.

Kwa hakika tamko hili lamaanisha:

Kwa kawaida nchi zifuatazo au sehemu zifuatazo za nchi huhesabiwa humo pia:

Mara nyingi pia sehemu ya nchi za Balkani zahesabiwa humo:

Zote zinapakana na Mediteranea isipokuwa Masedonia Kaskazini.

Wakati mwingine Bulgaria huhesabiwa hapa pia.

Kanda la Umoja wa Mataifa[hariri | hariri chanzo]

Umoja wa Mataifa huhesabu nchi zifuatazo kama nchi ya kanda la Ulaya ya Kusini: