Sokwe Mtu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sokwe Mtu
Sokwe mtu wa kawaida (Pan troglodytes) katika bustani ya wanyama
Sokwe mtu wa kawaida (Pan troglodytes) katika bustani ya wanyama
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota (Viumbe walio na seli zenye kiini)
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Hominoidea (Masokwe)
Familia: Hominidae (Masokwe wakubwa)
Nusufamilia: Homininae
Kabila: Hominini
Jenasi: Pan
Ngazi za chini

Spishi 2:

Msambao wa (nusu)spishi za sokwe mtu: nyekundu - P. paniscus, buluu - P. t. schweinfurthii, zambarau - P.t. troglodytes, kijani - P.t. vellerosus, njano - P.t. verus.
Msambao wa (nusu)spishi za sokwe mtu: nyekundu - P. paniscus, buluu - P. t. schweinfurthii, zambarau - P.t. troglodytes, kijani - P.t. vellerosus, njano - P.t. verus.

Masokwe mtu ni wanyama wakubwa wa jenasi Pan katika familia Hominidae (masokwe wakubwa). Masokwe hawa wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]