Orodha ya miji ya Gabon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Gabon
Libreville, Mji Mkuu wa Gabon
Port-Gentil
Masuku (Franceville)

Orodha ya miji ya Gabon inaonyesha miji mikubwa zaidi nchini Gabon katika Afrika ya Magharibi.

Rundiko kubwa nchini ni Libreville lililokadiriwa kuwa na wakazi 895,689 mnamo mwaka 2013. Hivyo karibu nusu ya wananchi wote wanakaa katika mazingira ya mji mkuu. [1]

Miji ya Gabon
Na. Mji Idadi ya wakazi Mkoa
Sensa ya 1993 sensa ya 2013
1. Libreville 419,596 703,940 Estuaire
2. Mandji (Port-Gentil) 79,225 136,462 Ogooué-Maritime
3. Masuku (Franceville) 31,183 110,568 Haut-Ogooué
4. Oyem 22,404 60,685 Woleu-Ntem
5. Moanda 21,882 59,154 Haut-Ogooué
6. Mouila 16,307 36,061 Ngounié
7. Lambaréné 15,033 38,775 Moyen-Ogooué
8. Tchibanga 14,054 30,042 Nyanga
9. Koulamoutou 11,773 25,651 Ogooué-Lolo
10. Makokou 9,849 20,653 Ogooué-Ivindo

Orodha kwa alfabeti[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]