Mkoa wa Ngounié
![]() | Makala hii, au sehemu za makala hii, inahitaji vyanzo au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zisizowekewa vyanzo zinaweza kuwekewa alama na kuondolewa. (Desemba 2009) |
Ngounié ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 37,750. Mji mkuu wa mkoa huu ni Mouila.
Kwa upande kusii-mashariki, Ngounié umepakana na Mkoa wa Niari wa Jamhuri ya Kongo. Kwa upande wanyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:
- Nyanga - kusini
- Ogooué-Maritime - magharibi
- Moyen-Ogooué - kaskazini
- Ogooué-Ivindo - kaskazini-mashariki, kwenye pembe nne ya nchi
- Ogooué-Lolo - mashariki
Departments[hariri | hariri chanzo]
Ngounié is divided into 7 departments:
- Boumi-Louetsi Department (Mbigou)
- Dola Department (Ndende)
- Douya-Onoy Department (Mouila)
- Louetsi-Wano Department (Lebamba)
- Ndolou Department (Mandji)
- Ogoulou Department (Mimongo)
- Tsamba-Magotsi Department (Fougamou)
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Gabon bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkoa wa Ngounié kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |