Mkoa wa Haut-Ogooué

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Haut-Ogooué)
Haut-Ogooué Province
Haut-Ogooué Province

Haut-Ogooué ni moja kati ya mikoa tisa nchini Gabon. Mkoa umepewa jina baada ya Mto Ogooué. Mkoa umechukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 36,547. Mji mkuu wa mkoa huu ni Franceville. Miongoni mwa viwanda vyake vikubwa ni pamoja na machimbo ya madini, pamoja na manganisi, dhahabu na urani nazo zinapatikana kwenye mkoa huu. Hapa ni nyumbani pa kihistoria kwa tamaduni tatu, kina Obamba, Ndzabi na Téké. Kama jinsi ilivyo mikoa mingi katika Afrika, matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini.[1] Mnamo mwezi wa Agosti 2006, klabu yake soka imeshinda Kombe la Uhuru la Gabon.[2]

Kwa upande wa kaskazini-mashariki, mashariki, na kusini, Haut-Ogooué imepakana na mikoa kadhaa ya Jamhuri ya Kongo:

Kwa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:

Departments[hariri | hariri chanzo]

Departments za Haut-Ogooué

Haut-Ogooué imegawanyika katika departments 8:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. matumizi mengi ya jadi katika ardhi yametupiliwa mbali na kukaribisha ujenzi wa miji mikubwa vijijini. Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-03-03. Iliwekwa mnamo 2010-10-08.
  2. Pan Express Yanyakua Kombe la Uhuru la Gabon. Jalada kutoka ya awali juu ya 2007-03-11. Iliwekwa mnamo 2021-10-24.

Coordinates: 1°38′S 13°35′E / 1.633°S 13.583°E / -1.633; 13.583