Mkoa wa Moyen-Ogooué

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Moyen-Ogooué)
Mkoa wa Moyen-Ogooué
Mkoa wa Moyen-Ogooué

Moyen-Ogooué ni moja kati ya mikoa tisa ya Gabon. Mkoa umechukua eneo la kimomita za mraba zipatazo 18,535. Mji mkuu wa mkoa huu ni Lambaréné.

Peke yake miongoni mwa mikoa ya Gabon, Moyen-Ogooué haina pwani ya bahari wala mpaka wa nchi ya jirani. Mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:

Moyen-Ogooué imepakana na mingine mingi kuliko mkoa wowote nchini Gabon.

Departments[hariri | hariri chanzo]

Departments za Moyen-Ogooué

Moyen-Ogooué imegawanyika katika departments 2: