Mkoa wa Woleu-Ntem
Jump to navigation
Jump to search
![]() | Makala hii, au sehemu za makala hii, inahitaji vyanzo au au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zizizowekewa vyanzo kuna uwezekano wa kuwekewa vikwazo na kuondolewa. (Desemba 2009) |
Woleu-Ntem ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 38,465. Mji mkuu wa mkoa huu ni Oyem.
Ukiwa Woleu-Ntem ni mkoa uliopo kaskazini sana mwa nchi ya Gabon, ni mkoa pekee uliopakana na Cameroon, vilevile umepakana na Jamhuri kadhaa kama vile Guinea ya Ikweta na kongo. Mkoa umepakana na maeneo ya nchi hizi:
- Mkoa wa Centro Sur, Guinea ya Ikweta - kaskazini-magharibi, magharibi mwa Wele-Nzas
- Mkoa wa Wele-Nzas, Guinea ya Ikweta - kaskazini-magharibi, mashariki mwa Centro Sur na kusini mwa Kié-Ntem
- Kié-Ntem Province, Equatorial Guinea - northwest, north of Wele-Nzas
- Mkoa wa South, Cameroon - kaskazini
- Mkoa wa Sangha, Jamhuri ya Kongo - mashariki
Domestically, it borders the following provinces:
- Estuaire - kusini-magharibi
- Moyen-Ogooué - kusini
- Ogooué-Ivindo - kusini-mashariki
Departments[hariri | hariri chanzo]
Woleu-Ntem imegawanyika katika departments 5:
- Haut-Komo Department (Ndindi)
- Haut-Ntem Department (Medouneu)
- Ntem Department (Bitam)
- Okano Department (Mitzic)
- Woleu Department (Oyem)
Majiranukta kwenye ramani: 1°17′26″N 11°50′08″E / 1.29043°N 11.8355°E
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Gabon bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkoa wa Woleu-Ntem kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |