Nile Nyeupe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Nile nyeupe)
Ramani ikionyesha Nile Neupe na Nile ya Buluu katika Afrika Mashariki.
Rusumo Falls.

Nile Nyeupe (kwa Kiingereza: White Nile; kwa Kiarabu: النيل الأبيض, an-nīl al-'abyaḍ) ni mto wa Afrika, moja kati ya matawimto makuu ya Nile; la pili linaitwa Nile ya Buluu. Majina hayo yanatokana na rangi ya maji inayosababishwa na udongo uliomo.[1]

Kwa usahihi, "Nile Nyeupe" ni mto unaopatikana katika Ziwa No, inapokutana mito Bahr al Jabal na Bahr el Ghazal. Kwa maana pana ni mikondo yote inayotokana na Ziwa Viktoria hadi kuungana na Nile ya Buluu. These Mikondo hiyo inaitwa "Nile ya Viktoria" (kupitia Ziwa Kyoga hadi Ziwa Albert), "Nile ya Albert" (hadi mpaka wa Sudan Kusini) halafu "Nile ya mlimani" au "Bahr-al-Jabal" (hadi Ziwa No).[2] "Nile Nyeupe" inamaanisha pengine hata vyanzo vya Ziwa Viktoria.[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. [[[:Kigezo:Google books]] The New American Cyclopaedia: A Popular Dictionary of General Knowledge, Volume 12]. 1867. p. 362. 
  2. Dumont, Henri J. (2009). [[[:Kigezo:Google books]] The Nile: Origin, Environments, Limnology and Human Use]. Springer Science & Business Media. pp. 344–345. ISBN 9781402097263. 
  3. Penn, James R. (2001). [[[:Kigezo:Google books]] Rivers of the World: A Social, Geographical, and Environmental Sourcebook]. ABC-CLIO. p. 299. ISBN 9781576070420. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nile Nyeupe kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.