Mto Katonga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda.

Mto Katonga unapatikana nchini Uganda, ukiunganisha ziwa Nyanza na ziwa Dweru.

Siku hizi maji yake yanaelekea mashariki na kuchangia ziwa Nyanza[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Hughes, Hughes & Bernacsek (1992). "2.10 Uganda", A Directory of African Wetlands. IUCN/UNEP(WCMC), 265. ISBN 2-88032-949-3. Retrieved on 26 February 2014. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Coordinates: 00°12′N 30°50′E / 0.200°N 30.833°E / 0.200; 30.833