Mto Pager

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda.

Mto Pager unapatikana kaskazini mwa Uganda (wilaya ya Kotido, wilaya ya Kitgum na wilaya ya Gulu) na kuingia katika mto Achwa ambao unaishia katika Nile Nyeupe nchini Sudan Kusini.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]