Mto Lugogo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda.

Mto Lugogo unapatikana kwanza katika wilaya ya Buikwe na wilaya ya Mukono, mkoa wa Kati, nchini Uganda.

Ni tawimto la Mto Kafu ambao unaingia katika Nile ya Viktoria na kwa njia hiyo maji yake yanafikia Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]