Mto Agwei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Beseni la Mto Sobat.

Mto Agwei (pia: Agvei, Agvey) ni korongo linalopatikana magharibi mwa Ethiopia na mashariki mwa Sudan Kusini.

Ni tawimto la mto Pibor linalopokea kwanza maji ya matawimto Abara na Kongkong.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Agwei kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.