Mto Muger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya beseni la mto Abay, ambamo mto Muger unaonyeshwa chini kulia.

Mto Muger (pia: Muger) ni tawimto la mto Abay ambao unaungana nao katika majiranukta 9|55|07|N|37|55|50|E, katikati ya Ethiopia.

Kati ya mito inayouchangia kuna mto Labbu. Beseni lake lote lina eneo la kilometa mraba 8,188.[1]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Muger kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.