Afya : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Tengua pitio 959868 lililoandikwa na AMANIEL CLEOPA MCHOME (Majadiliano)
No edit summary
Mstari 18: Mstari 18:
== Tanbihi ==
== Tanbihi ==
<references />
<references />
Napenda kushauri watu ukitaka uwe na afya nzuri unatakiwa ule mlo bora wakati wote na ufanye mazoezi kwa winngi ili kuepukana na magonjwa.

==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
{{Wiktionary|Health}}
{{Wiktionary|Health}}

Pitio la 10:20, 4 Novemba 2015

Stempu ya posta ya New Zealand, mnamo mwaka 1933.

Afya ni hali ya kujisikia vizuri kimwili na kiroho bila kusumbuliwa na ugonjwa wowote.

Sawa na suala la ugonjwa, hakuna elezo kamili kuhusu hali ya afya.

Fafanuzi za afya

  • Kwa watu wengi ni hali ya kutosumbuliwa na maumivu na udhaifu, pamoja na uwezo wa kutumia sehemu zote za mwili. Ni wazi ya kwamba hisia hii ni tofauti kati ya mtu na mtu.

Majukumu

Serikali zinatarajiwa kuandaa wataalamu wa mambo ya afya na kujenga hospitali nyingi hata vijijini kwa sababu watu wengi hupoteza maisha kwa kukosa huduma za afya: hii itasaidia kupunguza vifo.

Tanbihi

  1. http://www.who.int/bulletin/archives/80(12)981.pdf ''WHO definition of Health''

Napenda kushauri watu ukitaka uwe na afya nzuri unatakiwa ule mlo bora wakati wote na ufanye mazoezi kwa winngi ili kuepukana na magonjwa.

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Afya kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.