Ekaristi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
{{Sakramenti}}
[[Image:01preparation4.jpg|thumb|200 px|right|Vipaji vya [[mkate]] na [[divai]] vilivyoandaliwa kwa [[adhimisho]] la ekaristi.]]
Kwa [[Ukristo|Wakristo]] '''Ekaristi''' ni [[sakramenti]] iliyowekwa na [[Yesu Kristo]] wakati wa [[karamu ya mwisho]] usiku wa kuamkia [[Ijumaa Kuu]], siku ya mateso na kifo chake.
Kwa [[Ukristo|Wakristo]] '''Ekaristi''' ni [[sakramenti]] iliyowekwa na [[Yesu Kristo]] wakati wa [[karamu ya mwisho]] usiku wa kuamkia [[Ijumaa Kuu]], siku ya mateso na kifo chake.


==Jina==
==Jina==
[[Image:01preparation4.jpg|thumb|200 px|right|Vipaji vya [[mkate]] na [[divai]] vilivyoandaliwa kwa [[adhimisho]] la ekaristi.]]


Jina linatokana na neno la lugha ya [[Kigiriki]] εὐχαρίστω (''eukharisto'': nashukuru) lililotumiwa na [[Mtume Paulo]] na [[Wainjili]] katika kusimulia karamu hiyo ya mwisho ya [[Yesu]] na [[Mitume wa Yesu|Mitume]] wake, na muujiza uliotangulia ambao Yesu alidokeza nia yake ya kushibisha [[binadamu]] wote, yaani ule wa kuzidisha mkate na samaki kwa ajili ya umati.
Jina linatokana na neno la lugha ya [[Kigiriki]] εὐχαρίστω (''eukharisto'': nashukuru) lililotumiwa na [[Mtume Paulo]] na [[Wainjili]] katika kusimulia karamu hiyo ya mwisho ya [[Yesu]] na [[Mitume wa Yesu|Mitume]] wake, na muujiza uliotangulia ambao Yesu alidokeza nia yake ya kushibisha [[binadamu]] wote, yaani ule wa kuzidisha mkate na samaki kwa ajili ya umati.
Mstari 8: Mstari 9:
Jina linaonyesha mazingira ya sala ya matukio hayo, ambapo Yesu alimuelekea [[Mungu]] akimshukuru kwa vyakula na kinywaji alivyoshika mikononi kabla hajawagawia wanafunzi.
Jina linaonyesha mazingira ya sala ya matukio hayo, ambapo Yesu alimuelekea [[Mungu]] akimshukuru kwa vyakula na kinywaji alivyoshika mikononi kabla hajawagawia wanafunzi.


==Ushuhuda wa Biblia==
==Ushuhuda wa [[Biblia]]==


[[Agano Jipya]] linasimulia mara nne matendo na maneno ya Yesu ambayo alianzisha ibada hiyo na kuwakabidhi Mitume wake.
[[Agano Jipya]] linasimulia mara nne matendo na maneno ya Yesu ambayo alianzisha ibada hiyo na kuwakabidhi Mitume wake.
Mstari 41: Mstari 42:
[[Madhehebu]] mengi ya Kikristo yamekubali hati ya ki[[ekumeni]] ya [[Lima]] ([[1982]]) inayosema "Ekaristi ni ukumbusho wa Yesu msulubiwa na mfufuka, yaani ishara hai na ya nguvu ya sadaka yake, ambayo ilitolewa mara moja tu msalabani na inaendelea kutenda kwa faida ya binadamu wote".
[[Madhehebu]] mengi ya Kikristo yamekubali hati ya ki[[ekumeni]] ya [[Lima]] ([[1982]]) inayosema "Ekaristi ni ukumbusho wa Yesu msulubiwa na mfufuka, yaani ishara hai na ya nguvu ya sadaka yake, ambayo ilitolewa mara moja tu msalabani na inaendelea kutenda kwa faida ya binadamu wote".



[[Category:Ukristo]]
[[Category:Liturujia]]
[[Category:Liturujia]]
[[Category:Sakramenti]]
[[Category:Sakramenti]]

Pitio la 08:48, 18 Januari 2009

Sakramenti za Wakatoliki na Waorthodoksi

Kwa Wakristo Ekaristi ni sakramenti iliyowekwa na Yesu Kristo wakati wa karamu ya mwisho usiku wa kuamkia Ijumaa Kuu, siku ya mateso na kifo chake.

Jina

Vipaji vya mkate na divai vilivyoandaliwa kwa adhimisho la ekaristi.

Jina linatokana na neno la lugha ya Kigiriki εὐχαρίστω (eukharisto: nashukuru) lililotumiwa na Mtume Paulo na Wainjili katika kusimulia karamu hiyo ya mwisho ya Yesu na Mitume wake, na muujiza uliotangulia ambao Yesu alidokeza nia yake ya kushibisha binadamu wote, yaani ule wa kuzidisha mkate na samaki kwa ajili ya umati.

Jina linaonyesha mazingira ya sala ya matukio hayo, ambapo Yesu alimuelekea Mungu akimshukuru kwa vyakula na kinywaji alivyoshika mikononi kabla hajawagawia wanafunzi.

Ushuhuda wa Biblia

Agano Jipya linasimulia mara nne matendo na maneno ya Yesu ambayo alianzisha ibada hiyo na kuwakabidhi Mitume wake.

Simulizi la zamani zaidi ni lile la 1Kor 11:23-25. Likafuata lile la Mk 14:22-24; halafu yale ya Math 26:26-28 na Lk 22:19-20.

Asili

Kadiri ya ushuhuda huo, Yesu, katika karamu ya mwisho aliwagawia mitume wake mkate na divai akisema ndio mwili wake na damu yake vitakavyotolewa kama kafara kwa ondoleo la dhambi za umati, akawaagaiza wafanye vilevile kwa ukumbusho wake.

Hivyo Kanisa tangu hapo, linaendeleza ibada hiyo maalumu na ya msingi katika mazingira mbalimbali.

Simulizi la Paulo linafanana na lile la Mwinjili Luka na kufuata jinsi ekaristi ilivyoadhimishwa kati ya Wakristo wa mataifa; kumbe Mwinjili Marko na Mwinjili Mathayo waliripoti adhimisho lilivyokuwa kati ya Wakristo wa Kiyahudi.

Maendeleo

Papa Benedikto XVI akiadhimisha ekaristi

Karne zilizofuata ibada ilizidi kubadilika, hasa ilipotenganishwa na mlo wa kawaida ulioendana nayo awali.

Badala ya mlo huo, ibada iliunganishwa na masomo ya Neno la Mungu.

Kati ya namna mbalimbali za kuiadhimishwa, yalijitokeza mapokeo ya mashariki na ya magharibi.

Kwa jumla mapokeo ya mashariki yanahusisha milango ya fahamu na ni ya fahari kuliko yale ya magharibi.

Teolojia

Ekaristi inahusiana sana na Pasaka, na kifo na ufufuko wa Yesu vilivyotokea kwenye sikukuu hiyo ya Wayahudi.

Kadiri ya Injili Yesu Kristo aliweka ekaristi wakati wa kuadhimisha karamu ya Pasaka ya Kiyahudi, akaipatia maana mpya kuhusiana na kifo na ufufuko wake.

Madhehebu mengi ya Kikristo yamekubali hati ya kiekumeni ya Lima (1982) inayosema "Ekaristi ni ukumbusho wa Yesu msulubiwa na mfufuka, yaani ishara hai na ya nguvu ya sadaka yake, ambayo ilitolewa mara moja tu msalabani na inaendelea kutenda kwa faida ya binadamu wote".