Wilaya ya Kigamboni : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 22: Mstari 22:




'''{{BASEPAGENAME}}''' ni jina la [[Wilaya]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''17000'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf</ref> . Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ina wakazi wapatao 30,496 waishio humo.<ref>http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Wilaya ya Temeke - Mkoa wa Dar es Salaam</ref>
'''Kigamboni''' ni jina la [[Wilaya]] katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''17000'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf</ref> , pia jina la kata ndani yake iliyo na postikodi 17107. Hadi mwaka 2016 Kigamboni ilikuwa jina la kata pekee, na kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 30,496 waishio humo.<ref>http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Wilaya ya Temeke - Mkoa wa Dar es Salaam</ref>


Kigamboni ina umbo la [[rasi]] kati ya [[Bahari Hindi]] na [[maji]] ya [[bandari]]. Imetengwa na [[jiji]] la [[Dar es Salaam]] kwa maji ya [[Kurasini Creek]].
Kigamboni ina umbo la [[rasi]] kati ya [[Bahari Hindi]] na [[maji]] ya [[bandari]]. Imetengwa na [[jiji]] la [[Dar es Salaam]] kwa maji ya [[Kurasini Creek]].


Mawasiliano yapo kwa njia ya [[feri]] kati ya Kigamboni na [[Kivukoni]] upande wa jiji. Tangu 2016 kuna [[Daraja la Julius Nyerere]] linalounganisha maeneo karibu na [[Vijibweni]] upande mmoja na barabara ya Nelson Mandela (zamani Port Access Road) upande wa jiji. Kuna pia [[barabara]] inayozunguka bandari lakini njia hii ni ndefu mno ni [[kilomita]] zaidi ya [[hamsini]] hadi [[kitovu]] cha jiji kwa njia ya [[nchi kavu]]. Kuna mipango ya kujenga [[daraja]].
Mawasiliano yapo kwa njia ya [[feri]] kati ya Kigamboni na [[Kivukoni]] upande wa jiji. Tangu 2016 kuna [[Daraja la Julius Nyerere]] linalounganisha maeneo karibu na [[Vijibweni]] upande mmoja na barabara ya Nelson Mandela (zamani Port Access Road) upande wa jiji.
Kuna pia [[barabara]] inayozunguka bandari kupitia Kibada hadi kufika Kilwa Road lakini njia hii ni ndefu mno ni [[kilomita]] zaidi ya [[hamsini]] hadi [[kitovu]] cha jiji kwa njia ya [[nchi kavu]]. Kuna mipango ya kujenga [[daraja]].


Pia [[Kigamboni]] katika kata ya [[Vijibweni]] ndiyo sehemu ambapo kuna [[yadi]] nyingi za [[mafuta]] k.mf. kampuni zinazohifadhi mafuta katika yadi hizo ni: [[CAMEL OIL]], [[OIL COM]], [[BIG BON]] na nyinginezo.
Pia [[Kigamboni]] katika kata ya [[Vijibweni]] ndiyo sehemu ambapo kuna [[yadi]] nyingi za [[mafuta]] k.mf. kampuni zinazohifadhi mafuta katika yadi hizo ni: [[CAMEL OIL]], [[OIL COM]], [[BIG BON]] na nyinginezo.
Mstari 35: Mstari 37:
{{marejeo}}
{{marejeo}}


{{Kata za Wilaya ya Temeke}}
{{Kata za Wilaya ya Kigamboni}}
{{mbegu-jio-TZ}}
{{mbegu-jio-TZ}}


[[Jamii:Mbegu za jiografia ya Tanzania]]
[[Jamii:Mbegu za jiografia ya Tanzania]]
[[Jamii:Dar es Salaam]]
[[Jamii:Dar es Salaam]]
[[Jamii:Wilaya ya Temeke]]
[[Jamii:Wilaya ya Kigamboni]]

Pitio la 05:45, 30 Oktoba 2018


Kata ya Kigamboni
Kata ya Kigamboni is located in Tanzania
Kata ya Kigamboni
Kata ya Kigamboni

Mahali pa Kigamboni katika Tanzania

Majiranukta: 6°52′8″S 39°15′40″E / 6.86889°S 39.26111°E / -6.86889; 39.26111
Nchi Tanzania
Mkoa Dar es Salaam
Wilaya Temeke
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 30,496
Feri ya Kigamboni mjini Daressalaam
Mapumziko Kigamboni ufukoni


Kigamboni ni jina la Wilaya katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 17000[1] , pia jina la kata ndani yake iliyo na postikodi 17107. Hadi mwaka 2016 Kigamboni ilikuwa jina la kata pekee, na kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 30,496 waishio humo.[2]

Kigamboni ina umbo la rasi kati ya Bahari Hindi na maji ya bandari. Imetengwa na jiji la Dar es Salaam kwa maji ya Kurasini Creek.

Mawasiliano yapo kwa njia ya feri kati ya Kigamboni na Kivukoni upande wa jiji. Tangu 2016 kuna Daraja la Julius Nyerere linalounganisha maeneo karibu na Vijibweni upande mmoja na barabara ya Nelson Mandela (zamani Port Access Road) upande wa jiji.

Kuna pia barabara inayozunguka bandari kupitia Kibada hadi kufika Kilwa Road lakini njia hii ni ndefu mno ni kilomita zaidi ya hamsini hadi kitovu cha jiji kwa njia ya nchi kavu. Kuna mipango ya kujenga daraja.

Pia Kigamboni katika kata ya Vijibweni ndiyo sehemu ambapo kuna yadi nyingi za mafuta k.mf. kampuni zinazohifadhi mafuta katika yadi hizo ni: CAMEL OIL, OIL COM, BIG BON na nyinginezo.

Kiasili sehemu hii ilikuwa kijiji cha wavuvi lakini katika miaka ya nyuma watu wa jijini wamejenga nyumba na hoteli za kitalii zimeenea kwenye ufuko wa Bahari Hindi.

Marejeo

Kata za Wilaya ya Kigamboni - Tanzania

Kibada (17109) | Kigamboni (17107) | Kimbiji (17101) | Kisarawe II (17104) | Mjimwema (17106) | Pembamnazi (17105) | Somangila (17102) | Tungi (17103) | Vijibweni (17108)