Somangila

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Somangila ni kata iliyopo katika wilaya ya Kigamboni katika mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 17102[1].

Kata ya Somangila ina jumla ya mitaa kumi na tatu ambayo ni: Dege, Visikini, Minondo, Kichangani, Kizani, Mkwajuni, Shirikisho, Mwera, Mbwamaji, Mwanzomgumu, Malimbika, Bamba na Sara.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Kigamboni - Tanzania

Kibada (17109) | Kigamboni (17107) | Kimbiji (17101) | Kisarawe II (17104) | Mjimwema (17106) | Pembamnazi (17105) | Somangila (17102) | Tungi (17103) | Vijibweni (17108)