Gaspare del Bufalo
Mandhari
(Elekezwa kutoka Gaspare Del Bufalo)

Gaspare del Bufalo (6 Januari 1786 – 28 Desemba 1837) alikuwa padri Mkatoliki wa Roma (Italia) ambaye alipigania uhuru wa Kanisa kwa nguvu zake zote.
Hata alipofungwa gerezani kwa ajili hiyo hakuacha kamwe juhudi zake za kurudisha wakosefu kwenye njia nyofu, hasa kupitia ibada kwa Damu Azizi ya Kristo, ambayo kwa heshima yake aliyaita kwa jina hilo mashirika aliyoyaanzisha kwa mapadri na kwa masista [1] ambayo yameenea hata Tanzania.
Papa Pius X alimtangaza mwenye heri mwaka 1904, halafu Papa Pius XII alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Juni 1954.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- G. CESPITES, Mt. Gaspari del Bufalo, Mtume wa Damu Takatifu ya Yesu 1786-1837 – tafsiri ya W. Nyagatwa – ed. Shirika la Damu Takatifu ya Yesu – Manyoni 1985
- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk 5-6
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 2
Marejeo ya lugha nyingine
[hariri | hariri chanzo]- Attwater, Donald and Catherine Rachel John. "The Penguin Dictionary of Saints," 3rd edition, New York: Penguin Books, 1993. ISBN|0-14-051312-4.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- (Kiitalia) San Gaspare del Bufalo
- Missionaries of the Precious Blood website
- Letters of Saint Gaspar Ilihifadhiwa 13 Oktoba 2022 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |