Filipo Howard

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Filipo Howard alivyochorwa.

Filipo Howard (28 Juni 155719 Oktoba 1595) alikuwa mtu wa ukoo maarufu nchini Uingereza na binamu wa Malkia Elizabeti I.

Baada ya kuishi kwa anasa katika ikulu, alipata uongofu wa kimaadili aliposikiliza hoja za mapadri Wakatoliki (1581) na hatimaye aliacha madhehebu ya Anglikana ajiunge na Kanisa Katoliki, ingawa kwa siri, kutokana na dhuluma ya serikali.

Hatimaye alikamatwa na kufungwa hadi kifo chake miaka 10 baadaye[1].

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 15 Desemba 1929, halafu Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970 alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini pamoja na wenzake 39[2].

Sikukuu yake ni tarehe ya kifodini chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Howard spent ten years in the Tower, until his death from dysentery. He petitioned the Queen as he lay dying to allow him to see his wife and his son, who had been born after his imprisonment. The Queen responded that "If he will but once attend the Protestant Service, he shall not only see his wife and children, but be restored to his honors and estates with every mark of my royal favor." To this, Howard is supposed to have replied: "Tell Her Majesty if my religion be the cause for which I suffer, sorry I am that I have but one life to lose." He remained in the Tower, never seeing his wife or daughter again, and died alone on Sunday 19 October 1595. Cfr. Homily of Cardinal Basil Hume, OSB, Arundel Cathedral, 25 October, 1995 Archived 27 Desemba 2008 at the Wayback Machine.
  2. "Forty Martyrs of England and Wales". Encyclopædia Britannica Online. http://www.britannica.com/EBchecked/topic/214362/Forty-Martyrs-of-England-and-Wales. Retrieved 10 September 2013.
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.