Edmund Rich

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Edmund katika mchoro mdogo.

Edmund Rich (Abingdon, Uingereza, 1174 hivi – Soisy-Bouy, Ufaransa, 16 Novemba 1240) alikuwa mwalimu maarufu wa hisabati, falsafa na teolojia katika vyuo vikuu vya Paris na Oxford, halafu mhubiri, na hatimaye askofu mkuu wa Canterbury.

Kwa juhudi zake alirekebisha umonaki, Kanisa la Uingereza na nchi kwa jumla[1].

Alitangazwa mtakatifu na Papa Inosenti IV tarehe 16 Desemba 1246.

Wakatoliki[2] na Waanglikana wanaadhimisha sikukuu yake tarehe ya kifo chake.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.