Citeaux

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Abasia ya Citeaux.

Citeaux ni abasia (kwa Kifaransa: Abbaye de Cîteaux) ya Kanisa Katoliki huko Saint-Nicolas-lès-Cîteaux, kusini kwa Dijon, Ufaransa. Ni maarufu kama chanzo (1098) cha urekebisho wa umonaki wa Kibenedikto ulioenea haraka kila mahali katika karne ya 12, hasa kutokana na mvuto wa mwanashirika Bernardo wa Clairvaux.

Hata hivyo waanzilishi wake walikuwa Robati wa Molesme, Stefano Harding na Alberiko wa Citeaux.

Siku hizi inakaliwa na Watrapisti (ufupisho wa jina la Kilatini la shirika lao ni OCSO, Ordo Cistercensium Strictae Observantiae) wasiopungua 35.

Wasitoo wengine wanaunda shirikisho la O.Cist..

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Plouvier, M. and Saint-Denis, A. (eds.), 1998: Pour une histoire monumentale de Cîteaux, 1098-1998 (Commentarii cistercienses. Studia et documenta, 8), Cîteaux.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Picha[hariri | hariri chanzo]

Coordinates: 47°07′41″N 5°05′36″E / 47.12806°N 5.09333°E / 47.12806; 5.09333

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Citeaux kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.