Bendera ya Zanzibar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Zanzibar bendera mpya kuanzia mwaka 2005
(tangu Januari 2005)
Bendera ya Zanzibar mwaka 1964
baada ya mapinduzi hadi muungano na Tanganyika
Usultani wa Zanzibar
Desemba 1963 hadi Januari 1964
Usultani wa Zanzibar
Bendera ya kale, nyekundu sawa na ile ya Omani wakati ule. Kiasili ni bendera ya Sharifa wa Maka

Zanzibar ilhali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilipata tena bendera ya pekee tangu Januari 2005. Inaunganisha bendera ya Tanzania na ile ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ya mwaka 1964 iliyotumika kati ya mapinduzi ya Januari na muungano ya Zanzibar na Tanganyika wa tarehe 26 Aprili 1964.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Zanzibar ilikuwa na bendera yake tangu kuhamia kwa Sultani wa Omani kutoka Maskat kuja Zanzibar. Bendera nyekundu ilikuwa sawa na ile ya Sharifa wa Maka.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1963 usultani uliongeza alama ya karafuu katika bendera yake.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]