Alama

Alama ya hatari ya kibiolojia haihusiani nayo kabisa.
Alama (kwa Kiingereza "sign"[1]) ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k.
Baadhi yake ni asili, kwa mfano radi ya umeme na dalili za ugonjwa.[2]
Baadhi zimetungwa na binadamu, kwa mfano vituo katika maandishi na vitendo vya mikono wakati wa kuongea.[3]

Ishara kwenye pwani huko Durban katika enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini inaonyesha pwani ya ubaguzi wa rangi.[4]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ New Oxford American Dictionary
- ↑ Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372.
- ↑ Woo, B. Hoon (2013). "Augustine's Hermeneutics and Homiletics in De doctrina christiana". Journal of Christian Philosophy 17: 103–106. https://www.academia.edu/5228314.
- ↑ Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |