Dalili
Dalili ni alama zinazotambulisha kitu fulani kwamba kimekuja, kinakuja au kitakuja.
Dalili zipo za aina mbalimbali, kama vile dalili za magonjwa, mvua n.k.
Mifano ya dalili[hariri | hariri chanzo]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |