Arnulfo wa Metz
Mandhari

Arnulfo wa Metz (Lay-Saint-Christophe, leo nchini Ufaransa, 582 hivi - Remiremont, 641 hivi) alikuwa mwanasiasa mwenye cheo kikubwa katika ikulu ya Dagobati I, mfalme wa Austrasia[1][2].
Baba wa watoto wawili maarufu, alichaguliwa kuwa askofu wa Metz akashughulikia uchungaji bila kuacha majukumu ya kisiasa.
Hatimaye aliruhusiwa na mfalme kwenda kwa siri kuishi kama mkaapweke karibu na monasteri ya Hamend iliyoanzishwa na rafiki yake Amato[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Alban Butler's Lives of the Saints, edited, revised and supplemented by Thurston and Attwater. Christian Classics, Westminster, Maryland.
- Christian Settipani – La Préhistoire des Capétiens, Première Partie.
- Saint ARNOUL – ancêtre de Charlemagne et des Européens, edited by Imp. Louis Hellenbrand. Le Comité d'Historicité Européene de la Lorraine, Metz, France, 1989.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |