Young Africans S.C.
| Jina la utani | Yanga (Swahili) |
|---|---|
| Imeanzishwa | 11 Feb 1935 |
| Uwanja | Benjamin Mkapa National Stadium (Uwezo: 60,000) |
| Kocha | Romain Folz |
| Ligi | Tanzania Premier League, Vodacom Premier League |
| Tovuti | tovuti ya klabu |
Young Africans S.C. (maarufu kama Yanga, jina kamili ni Young Africans Sports Club) ni timu ya soka ya nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935, inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Jina la utani Timu ya Wananchi au Wanajangwani.
Imepata kuwa mabingwa mara 30 nchini na mabingwa mara 5 kombe la mabingwa Afrika Mashariki Kagame.[1]
Katika ngao ya jamii Yanga imeifunga Azam FC kwa jumla ya magoli 8 kwa 7, takribani mara tatu kwa Azam FC kukutana na Yanga katika Ngao ya Jamii na Yanga kumfunga Azam kwenye mechi zote tatu.[2]
Wachezaji
Kikosi Cha Sasa
- As of As of 16 April 2025
Note: Flags indicate national team as has been defined under FIFA eligibility rules. Players may hold more than one non-FIFA nationality.
|
|
Wachezaji wa kigeni
Ligi Kuu ya Tanzania inaruhusu wachezaji wa nje kumi na mbili(12). Yanga kwa sasa wanatumia wachezaji wa kigeni wafuatao:
Heshima
Ndani ya Nchi
- Ligi Kuu Tanzania[3]
- Kombe la FA Tanzania[4]
- Mabingwa (3): 1975, 1994, 1999
- Makombe (1): 2001
- Kombe la FAT[5]
- Mabingwa (3): 2015–16, 2021/22, 2022/23
- Makombe (2): 1996, 2021
- Kombe la Tusker[4]
- Mabingwa (7):1986,1992,1987,2000,2005,2007, 2009
- Makombe (3): 2001, 2002, 2005.
- Kombe la Mapinduzi[4]
- Mabingwa (3): 2003,2004, 2021
- Makombe (1): 2011
- Ngao ya Jamii[4]
- Mabingwa (7): 2001, 2010, 2013, 2014, 2015, 2021,2022
- Makombe (7): 2002, 2005,2013,2009, 2011, 2016, 2017
Bara
Kombe la Shirikisho la CAF
- Makombe (1): 2023
Ufundi katika Mashindano ya CAF
- Ligi ya Mabingwa wa CAF: Onyesho 15 [7]
- Kombe la Washindi wa Mataji ya Afrika: Onyesho 11
- Kombe la Shirikisho la CAF: Onyesho 6
- 2007 – Raundi ya Kati
- 2008 – Raundi ya Kwanza
- 2011 – Raundi ya Awali
- 2016 – Hatua ya Makundi (Nane Bora)
- 2018 – Hatua ya Makundi (16 Bora)
- 2022–23 – Mshindi wa Pili
- Kombe la CAF: Onyesho 2
- 1994 – Raundi ya Kwanza
- 1999 – Raundi ya Kwanza
- Kombe la Washindi wa Mataji la CAF: Onyesho 2
- 1995 – Robo-fainali
- 2000 – Raundi ya Kwanza
Nembo

Tanbihi
- ↑ "Young Africans live score, schedule and results - Football - SofaScore". www.sofascore.com. Iliwekwa mnamo 2021-01-02.
- ↑ "Young Africans News | Goal.com". www.goal.com. Iliwekwa mnamo 2021-01-02.
- ↑ "Tanzania – List of Champions". RSSSF. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-01-16. Iliwekwa mnamo 2020-12-31.
- 1 2 3 4 "Tanzania – List of Cup Winners". RSSSF. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-08-12. Iliwekwa mnamo 2020-12-31.
- ↑ "Tanzania – List of Cup Winners". RSSSF. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-08-12. Iliwekwa mnamo 2020-12-31.
- ↑ "CECAFA Club Championship". RSSSF. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-08-12. Iliwekwa mnamo 2020-12-31.
- ↑ SportPesa (2025-08-02). "Ligi Kuu ya Tanzania 2024/25: Muhtasari wa Msimu - SportPesa Tanzania" (kwa Kiingereza (Uingereza)). Iliwekwa mnamo 2025-09-02.