Tomaso wa Villanova
Mandhari

Tomaso wa Villanova, O.S.A. (awali Tomás García y Martínez; Villanueva de los Infantes, 1488 – Valencia, 8 Septemba 1555) alikuwa mtawa Mwaugustino kutoka Hispania maarufu kama mhubiri na mwandishi.
Hatimaye alikubali kwa utiifu tu kuwa askofu mkuu; hapo, pamoja na maadili mengine ya mchungaji bora, aliwaka upendo mkubwa sana kwa maskini wa jimbo lake akawashughulikia hata kumaliza mali yake yote, asibaki hata na kitanda kidogo cha kukilalia [1].
Papa Aleksanda VII alimtangaza mtakatifu tarehe 1 Novemba 1658.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 330-331
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 284-285
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Life of Thomas of Villanova (Augustinians of the Midwest) Ilihifadhiwa 15 Novemba 2012 kwenye Wayback Machine.
- Hotuba za Mt. Tomaso wa Villanova Ilihifadhiwa 16 Machi 2016 kwenye Wayback Machine. Hotuba zake kwa Kilatini
