Tomaso wa Villanova

Tomaso wa Villanova, O.S.A., awali Tomás García y Martínez (Villanueva de los Infantes, 1488 – Valencia, 8 Septemba 1555) alikuwa mtawa kutoka Hispania maarufu kama mhubiri na mwandishi.
Hatimaye alipata kuwa askofu mkuu aliyeshughulikia sana maskini wa jimbo lake.
Papa Aleksanda VII alimtangaza mtakatifu tarehe 1 Novemba 1658.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Life of Thomas of Villanova (Augustinians of the Midwest)
- Hotuba za Mt. Tomaso wa Villanova Archived 16 Machi 2016 at the Wayback Machine. (kwa Kilatini)